b classic 006 sina bahati şarkı sözleri

Yeaaaah bclassic 006 . I wish ningejua kitambo, bahati ya mapenzi sina tena, na moyo wangu ameuweka kapambo kwenye maumivu mi naugulia , after kutendwa ah....bado nazidi kupenda....after kutendwa ah....bado nazidi kupenda ... Bridge; zile micharuko za maneno sina aibu moyo wangu umekosa Sera ...oh zile micharuko za maneno sina... aibu moyo wangu umekosa sera...mwenzio naumiaaaa Umdhanie yeye anakupenda,kumbe ana wake moyoni ..ukichunguza kumbe anakutenda kumbe amekufumba machoni... Chorus Ooooooh (Sina,sina bahati ya mapenzi ) ×2 Nikirajibu kupenda Sina bahati ya mapenzi Sina sina bahati ya mapenzi Verse 2 Nimejaliwa moyo wa kupenda nikipenda nazama nakufa nikionjeshwa nalewa, nazama fofofo..hivi bclasic ,nikukosea ama ni laana..Giddy vibes on the beat nieleze why why why why Bridge zile micharuko za maneno sina aibu moyo wangu umekosa Sera ...oh zile micharuko za maneno sina... aibu moyo wangu umekosa sera...mwenzio naumiaaaa Umdhanie yeye anakupenda, kumbe ana wake moyoni ...ukichunguza kumbe anakutenda kumbe amekufumba machoni... Chorus Ooooooh, (Sina, sina bahati ya mapenzi) ×2 Nikirajibu kupenda Sina bahati ya mapenzi Sina sina bahati ya mapenzi.......
Sanatçı: B Classic 006
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 2:27
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
B Classic 006 hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı