bamboo african bantu karibu home şarkı sözleri

Nilipo okoka nili kuwa na vitu mingi sielewi, siku jua kaa haufai kukuwa bar mi sipewi, siku jua kuna mtu kaa shetani sikudhani, kuna watu flani luminati yaani Siku jua kuna kitu kama pepo, na malaika walifkuzwa toka mbingu wako huku wana tafuta, yule hana mafuta yule ame chafuka, toto hadi kwa guka mi nishawai anguka alafu nika amuka Siku jua pepo Jezebelly anataka watu wazingue wasi jue ukweli Sikujua uokovu ni kuokolewa helli hawonyeshi telli kuna nabi matapeli Kazi jaza belly watu hawasemi Wanasema panda mbengu mavuno mtavuna sasa basi mbona usi ubiri njili Juma /-/Nani amekutuma? Ushaniskuma Verse 2 Hakuna aliye kuja kwake aka baki vile Karibu Unapendwa sana Wengine wana kudanganya ni mwingi wahuruma Karibu Hajawai mwacha wake anainua sana Nakwambia kweli Usikate tamaa rudi Unapendwa Karibu Ameinua wengi sana Hawezi kukuwacha Rudi Verse 3 Najua watu wako na maswali mingi kama mimi Hawaelewi kukuwa mkristo ni ku kuwa nini kwa nini amukunywi kwa nini amulewi? Kwa nini amudanganyi kwa nini amupewi? Kwanini mnaomba sana hivyo kanisani pole kama ni maswali mingi samahani Kumbe hapa kuna vita Na tuna pigania Kumbe God anakuita Na amevumilia Kumbe dhambi zinauwa Na kuzimu iko -> Na Shetani ana koroganga watu kama mwiko eeh! Kumbe Yesu yupo Na anakupenda Na ukimwita awezi kulenga ehh Kumbe ni Shetani mishale zilinigonga Kumbe haya magonjwa Yesu anaponya Onya Oh yeah
Sanatçı: Bamboo African Bantu
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi:
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
Bamboo African Bantu hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı