bamboo usilete compe şarkı sözleri

Verse 1 Ati ehh niko club nimekaa bila taabu na jamia ana katia dem wangu kwa sabaabu napendanga masilver badala ya dhahabu/ ubaya miwanga najam kaa mwarabu/ lakini mi utoa stress na kalamu na spit kwa mic na ina toka tu vitamu/ hii basi ni story ya dem wangu, staki magezetti ziaribu game yangu/ nime kaa nakadem kangu kasupuu, namroga tu na mastyles zangu za vuduu/ nazilikuwa zinaflow tu kama maji, jama akakuja akamsalimia niaje? ati sasa baby, umepotea, imekuwa siku mingi ujatokea, saa hizo minawish tu angepotea, akanisalimia hi, na akaendelea! Hook (Chorus) Verse 2 Sasa misipendangi kukuwa na wivu, lakini pia heshima wanga muhimu/ isitoshe akamwomba namba ya simu nikashindwa kwani huyo mse nimwazimu/ ati ehh baby, give me your line, usipotee sana nipigia sometime/ compe ni compe jo safi, mtu aje ajitetee roho safi/ mi sina time ya kujam sangapi/ uwivu uleta vita kama supuu awezi pita, kabla chali hajamwita, dem ako na majamaa kaa sita/ ka figa lakini kanakuita, hips na thighs ubonga na zina skika/ zingine zina bonga kama speaka! Hook (Chorus) Verse 3 Sasa si nikabaki na dem hapo/ saa hizo jama asha rusha game hapo, ni vile mtu ucheza na brain yako/ nikamwambia ukweli jamaa anaclaim vako/ minika lenga, jamaa akaenda, lakini ni obvious si anampenda/ na keep it real, nathani mnanifeel ni ngumu kupata dem kwa club na amechill/ siwezi funga mtu kaa police, niki kurelease nakwambia tu peace/ compe ni compe jo safi, mtu aje ajitetee roho safi/ lakini kwanza anipee nafasi, nampatie story yangu kiasi/ mimi sipendi kwanza weekendi/ mtu rafiki lakini anapretendi, watu wanaona ni kama wataniona lakini nimekupima na pia nimekusoma/ skia ngoma, compe ni noma, jamaa anaalika dem wako nyama choma! Hook (Chorus)
Sanatçı: Bamboo
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi:
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
Bamboo hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı