daddy cham celebration (feat. trix) şarkı sözleri

Am sorry wewe dada, naomba yako ya simu Ili nikwambie kwamba, nikwambie kitu muhimu Ya kwamba umenibamba, yani umenipa wazim Nikikupata nitatamba,coz i think you the gal of my dream Siendi safari kama hautonipa GOODBYE Usiku silali kama hautonipa GOODNIGHT Nikiwa LOW wewe ndo wakuniweka HIGH Nikiwa Wrong unanifanya mimi niwe RIGHT This is just like a CELEBRATION Wewe kwangu ndio MOTIVATION Na hii ngoma iwe DEDICATION Unanifanya mi nipatwe na kichaa Unanifanya niwe chizi mi niwe ndondocha Naota ukinipa makiss na makopa kopa Nilipo fall in love we ukaniokota Nasitofanya ata chozi lako kudondoka Wewe kwangu ni my TRUMPET you are my melodies unanibembeleza kwa vinanda Sun rise to the sun set kama magnet kamwe sichoki wekukuganda Uzuri wako kweli magic so fantastic uanifanya mpaka minaWounder Vile ulivyo uko sex so romantic kwa unavyonipa penzi kwa kitanda Siendi safari kama hautonipa GOODBYE Usiku silali kama hautonipa GOODNIGHT Nikiwa LOW wewe ndo wakuniweka HIGH Nikiwa Wrong unanifanya mimi niwe RIGHT
Sanatçı: Daddy Cham
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 3:52
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
Daddy Cham hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı