dareal young el mang'aa (feat. dr monte) şarkı sözleri

Mbota nadunga, time sinanga Madem na lenga, na sina mmoja Wallet natupa, pesa na sunda Cv natuma buh works nalenga Sahani ndo sina, Chakula ninayo Kwako ni poison, kwangu chakula Mambo ni moto, vitu baridi Daraja hakuna, bado navuka ey Mi ni mang'aa, ah bado na ng'aa, ah ah Me ni balaa, ah Ndo venye inafaa, Ah Ki Kijana ni bad man AnAkwanga mad class eh Ndo venye inafaa Kiburi balaa Naleta kajoto, Waingie njeve Kiti kadogo, buh cheo ni kubwa Meza ni kubwa, viti ni chache Grind manight kulala mangware Thegi kukaa na karao how? Msanii kumurder the crowd how? Naivisha na mi si mpishi. Mnaivisha na nyi si wapishi Sahani ndo sina Chakula ninayo Kwako ni poison kwangu chakula Mambo ni moto vitu baridi Daraja hakuna Na bado navuka ey Mi ni mang'aa ah bado na ng'aa ah ah Me ni balaa, ah Ndo venye inafaa, Ah Ki Kijana ni bad man, Ankwanga mad class eh Ndo venye inafaa Kiburi balaa Nimpole but bado hatari Farasi ni kama ferrari Pennywise na manoti Mngori kapatwa kwa ngori Anachai na hanoni, hoging hanachai na hakondi, Stingy. Hana crime but guilty Kisiagi joh bado ni grind Ulafi si kama tamaa. Baba apa Waschana wazuri Hawana uzuri Wavulana wabaya Mifuko ni nzuri. Mbota nadunga time sinanga Madem na lengaNa sina mmoja Wallet natupa pesa na sunda Cv natuma buh works nalenga Eh... Mi ni mangaa ah bado na ngaa ah ah Me ni balaa, ah Ndo venye inafaa. Ah Ki Kijana ni bad man. Ankwanga mad class eh Ndo venye inafaa Kiburi balaa
Sanatçı: Dareal Young El
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 2:44
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
Dareal Young El hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı