easy tz fall inlove şarkı sözleri
Yeah, it's easy
This song is for you, baby
Come on yeah
Sijawahi penda kama hivi
Toka niyajue mapenzi
Kuna namna you make me feel
Kuelezea siwezi
Nita kushitaki kwa polisi
The way you drive me crazy
Hatari kwa usalama
You drive me bila license
Nahisi kama umeniroga
Nizidi kukupenda
Ndo mana nakupenda vibaya
Nirijaribu mara moja
Utamu ukanoga
Ona sasa nataka tena
Utamu kolea
Penzi lako limenizidia
Ushauri sitaki sikia
Nakutaka wewe tu
Kwako ni mefoli in love
Sioni sisikii
Siambiliki
Kwako ni mefoli in love
Mwenzako oi, oi
Bila wewe aki sitoboi
Kwako nimefoli in love
Kwako nimefoli in love
Siku moja bila wewe onanana
Kama mwaka naona
Kama ingewezekana
Popote uwendako tungefatana
Baby mimi kwako nyanga-nyanga
Mwenzako nakutaka sana-sana
Sijuhi umenipa nini
Nimekuwa chizi mpenzi
Yani dududu
Mapigo ya moyo yako jujuju
Baby mimi kwako fala zuzuzu
I love you
Sugar sugar sugar sukari yangu
Chunga chunga mama niwe peke yangu
Uzuri wako una nipaga wivu
I love you
Nahisi kama umeniroga
Nizidi kukupenda
Ndo maana nakupenda vibaya
Nilijaribu mara moja
Utamu ukanoga
Ona sasa nataka tena
Utamu kolea
Pezi lako limenizidia
Ushauri sitaki sikia
Nakutaka wewe tu
Kwako ni mefoli in love
Sioni sisikii
Siambiliki
Kwako ni mefoli in love
Mwenzako oi, oi
Bila wewe aki sitoboi
Kwako nimefoli in love
Kwako nimefall nimefall
Nimefoli love
Nimefall in love