ebenezer mwabenga ametenda şarkı sözleri

Bwana amenipa sauti Nimuimbie ninamuimbia Mungu wangu aliye juu kanitoa Kwenye mauti nisiingie Ninajivunia kuwa ndani ya Baba Tu Upendo wako kwangu Daima Ni wa milele hujaniacha Yesu Hujanitupa bwana thamani hii Ninayopata siku zote Umeniweka huru we Nitakushukuru Embu imba kidogo jisembeze Sifu kidogo jisembeze cheza Kidogo jisembeze ruka ufurahi Embu ringa kidogo jisembeze Tabasamu kidogo jisembeze Weka mikogo jisembeze kwake Ujidai Maana Mungu wangu Ametenda ametenda ametenda Ametenda baba yangu Ametenda ametenda ametenda Ametenda Mungu wangu Ametenda ametenda ametenda Ametenda baba yangu Ametenda ametenda ametenda Amenipa ushindi amenikirimia Pale niliposaka sana yeye toka Vilindini nilipomlilia amenipa Baraka bwana Amenibariki wakati wa shida Na dhiki nilipomuomba ye Amenitimizia sitachoka kusema Asante sitasahau kushukuru Sababu ananipenda sababu Ananijali bwana Jehovah Wangu Embu imba kidogo jisembeze Sifu kidogo jisembeze cheza Kidogo jisembeze ruka ufurahi Embu ringa kidogo jisembeze Tabasamu kidogo jisembeze Weka mikogo jisembeze kwake Ujidai Maana Mungu wangu Ametenda ametenda ametenda Ametenda baba yangu Ametenda ametenda ametenda Ametenda Mungu wangu Ametenda ametenda ametenda Ametenda baba yangu Ametenda ametenda ametenda
Sanatçı: Ebenezer Mwabenga
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 4:04
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
Ebenezer Mwabenga hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı