ebrange uswazi şarkı sözleri
Uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi
Beast Mode gang
Uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi
Hey Look
Uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi
Makaimati masharubati
Uswazi hugonyi mdhii alhamdulilililahi
Bambucha washtuka huja shikwaushazukwa
Una-pupa unakwenda unakuja
Unanyoa unasukwa una fika una kutwa
Tunapandaunashuka mwisho wa mwanzo mwanzo wa mzuka!
Am So hyped najifili fili kurusha
Tuko easty twala miti without feety
Haushikishi? I mean twala Jodari mafishi
Fixi fixi fixi phsyc 'sha-picky
Skuizi my dhrily na kusizi
Sipping sipping vidaka...!
Masimbi no huntishi ng'o
Sishiki phone just type it on
Am fed up huoni? yeah I'm fed up huoni?
Uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi yeah
yeah uswazi
Uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi uswazi yeah
Pwani life hii ni happy life kwetu upendo lazima!
Nipe knife bwagwa dafu ninywe maji ya uzima
Menu nice ngisi kwa sima
Paradise danga juice nikimi mina
'Utanipata niko high zimeshika
Beach nime chill naki bluetooth speaker
Mix ya majani na majani mjita niko fixed
Nikicheki tu videra vikipita
Sheshe fuli furika
Watoto mauno kuchika
Wauni mchicha rizla
Ubwabwa huezi maliza
Yeah wahuni na zuna
Ka shekhe na sunna I togongwa mkigongana
Kwa chocho au ubonyo mtonyo ukikata kukata
Ah! mnakosana
Juu ya ki-pill yeah don't care how you feel
Mara mbongo washapop
Shots dogo washakill
Yeah
ngarawa nko ndani'we
Kwa tanga na sail away
Na wanga ni wengi we
Na wana shindana so chunga kijana
Hey majunky na dawa we
So chunga usipaga we
USwazi ni raha we
Hakuna matata so lazma utadata
Easty easty
USwazi uswazi
Siskwa sisi
Mwaga razi
Sosi switi
Dungwa nazi
Fulu street fulu bichi mwaga razi
Uswazi
Uswazi uswazi uswazi uswazi
Uswazi
Uswazi uswazi uswazi uswazi
Ah n-Tizo gengy
Antiso genki
Antiso gengy
Ah n-Tizo gengy
A n-Tizo gengy
Yeah

