elefel dundaa şarkı sözleri
Yeah... el... elefel
Yeah check this
Crush amepata kasponyo
Nimelemewa na mbono
Karao alipata nkiwatch ball akaniekelea bonoko ya ndom joh
Cell nasuguliwa ngoto
Nkikosa kitu mkono
Mtaani nahepea zogo adi kwa mbogi ya kimonyoski ju nikiwa kwa dundaa
Eeeeeh kazi apa ni kujirusha
Shika kiuno msupa akizungusha presha inashuka
Dudududundaeeeeeeh
Form ni gani zinga shikisha na chupa
Mamorio ka mi wakunywangi tunakushikilia ukidunda
Chuchuchuchunga weeeeeeh
Msupa husema ati fare ukituma hatakula
Chocha na kumpiga lugha usitublame akikosa kukuja
Dudududundaeeeeeh
Piga mapichaka ni luku tumeuwa
Kazi apa ni kuwakunywa toka kwa kichwa mpaka kwa mandula tukiwa kwa dundaa
Ni mi L na uyu don Alma
Kidole Cha Kati nikiona mbang'a
Msupa ana figure ya chupa joh utadhani hips zimeundwa na protractor
Niliomoka si unacheki kwa mziki niling'oa nanga
Ianze sahiiBuda acha story za kesho unangojangaaaa?
Kazana kusaka ganjiukikosa tulia tuli
Kuhata leo si dhambi ja Mungu kesho hujui
We nawe uko na kitambi na ati unafuliza kumiaaah
Msupa analilia hatrick kichwa thutha na kapussy!
Napenda kucheza lowlow
Haga inatingishwa slow mo
Nguna wa tao ama ghetto
Kadem curvy mali Safi
Sahii mi naishi solo
Ganji zinipashe joto
Life hii Kanai ka Stone Cold
Ni kujikaza kibabii
Bambii
Nililelewa gishagi
Shosh alinifunza one thing
Kujipuuza ni dhambi
So we ukikanyanga lami
We jua ndani uko ka beast
Unaeza fanya magic
Geuze jasho iwe ganjii
Eeeeeh kazi apa ni kujirusha
Shika kiuno msupa akizungusha presha inashuka
Dudududundaeeeeeeh
Form ni gani zinga shikisha na chupa
Mamorio ka mi wakunywangi tunakushikilia ukidunda
Chuchuchuchunga weeeeeeh
Msupa husema ati fare ukituma hatakula
Chocha na kumpiga lugha usitublame akikosa kukuja
Dudududundaeeeeeh
Piga mapichaka ni luku tumeuwa
Kazi apa ni kuwakunywa toka kwa kichwa mpaka kwa mandula tukiwa kwa dundaa

