elia malik shukurani şarkı sözleri

Ouuhhuh ouuhhuh ohuuhhuh Ouuhh Asante mungu kwa mengi Ulionifanyia Umenichagua kati ya wengi Ukaniokowa baba Mara nyingi umenitowa kwenye Matatizo mabayaaa, mkono wako Ukanileta kwako baba Kusema asante haitoshi Sinaneno lakusema kwa huruma Wako Umenitowa kwenye mahali mabaya Ukanifuta machozi Ohhhh yeahhh Umenipa heshima Ambayo adui zangu wanaona Ukanitetea mpaka leo leo niwe Mzima x2 Shukurani baba kwa ulichofanya Uwema wako ni amani yangu Umebadilisha maisha yangu Uniweka kwenye njia iliko sawa 2x Hakuna anayeweza kupinga cocote Ulichosema Hakuna mtu anayeweza kufanya Kama unachofanya Umesema mkono wako sio mdogo Una uwezo wakuponya kila Mgonjwa Nikuabudu wewe mungu wa kweli Wewe Kama kutafuta tulikuwa wengi Hii leo ninafanya kazi nzuli Tena warikufa wengi Umenifanyia nipate amani Umenipa heshima Ambayo adui zangu wanaona Ukanitetea mpaka leo leo niwe Mzima x2 Shukurani baba kwa ulichofanya Uwema wako ni amani yangu Umebadirisha maisha yangu Uniweka kwenye njia iliko sawa 2x
Sanatçı: Elia Malik
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 4:18
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
Elia Malik hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı