g ndezy tunapendana şarkı sözleri

Can you feel this Ilikuwa kama utani tu Nilipo muona Moyo ulishtuka sijapata ona Mtoto mzuri alie jaa kila kona Sura shape jinsi alivyoshona The way she smile ago lose my mind Akitembea ana course the wind Vimacho uwizi kama nandy I swear to God atani brandy The way she smile ago lose my mind Akitembea ana course the wind Vimacho uwizi kama nandy I swear to God atani brandy Tunapendana Mi na yeye milele na milele iyee Tunaendana Niacheni niwe wake wa kwake pekeake Tunapendana Mi na yeye milele na milele iyee Tunaendana Niacheni niwe wake wa kwake pekeake African Queen umenibamba The way you shake your bambam Njoo twende sambamba Nimwagilie shamba Napenda unavyofanya nafurahi Maana hata sikumoja sikuwahi Huko nyuma nlikotoka hakufai Asante Mungu kakuleta nafurahi The way she smile ago lose my mind Akitembea ana course the wind Vimacho uwizi kama nandy I swear to God atani brandy Tunapendana Mi na yeye milele na milele iyee Tunaendana Niacheni niwe wake wa kwake pekeake Tunapendana Mi na yeye milele na milele iyee Tunaendana Niacheni niwe wake wa kwake pekeake It's G Ndezy Whats up Fk FK shoes
Sanatçı: G Ndezy
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 2:37
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
G Ndezy hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı