galaxy ikanda hakuna matata şarkı sözleri

Galaxy Mwana wa ikanda Ehh! Ehh! Niko na wewe tulia Niko na wewe tulia Niko na wewe tulia Niko na wewe tulia Acha ujidai Unachotaka nikupe ee Mpaka ufurahi Penzi lisishuke ee Coz loving loving you Please loving loving me Sote tuwe juu Coz loving loving you Please loving loving me Sote tuwe juu Niko na wewe tulia Hakuna matata aa Niko na wewe tulia Mpenzi ondoa shaka aaah Niko na wewe tulia Ili mladi ushanipata as Niko na wewe tulia Bado tuna peta as Niko na wewe tulia Niko na wewe Niko na wewe tulia My sweet red wine We gonna make good time everywhere Jiachie Uko na mimi Hakuna wakukunyemelea Coz loving loving you Please loving loving me Sote tuwe juu Coz loving loving you Please loving loving me Sote tuwe juu Niko na wewe tulia Hakuna matata aa Niko na wewe tulia Mpenzi ondoa shaka aa Niko na wewe tulia Ili mladi ushanipata aa Niko na wewe tulia Bado tuna peta aa Niko na wewe tulia Hellooo! Kwa nini hujani pigia simu tangu asubuhi? Apana mpenzi wangu simu haikua na na na na credits Ina maana kila siku lazima mi nikutafute wewe? No no noo! Nimechoka I'm so sorry I'm sorry bby Hello! Hello! Ohh shit! Niko na wewe tulia Niko na wewe Niko na wewe tulia Niko na wewe tulia Hakuna matata aa Niko na wewe tulia Mpenzi ondoa shaka aa Niko na wewe tulia Ili Mladi ushanipata aa Niko na wewe tulia Bado tuna peta aa Niko na wewe tulia
Sanatçı: Galaxy Ikanda
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 4:03
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
Galaxy Ikanda hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı