iamteered monchoka şarkı sözleri
Monchoka chorus
Life iko fiti na iko easy nimemonchokaa
(Aiyayaya nimemonchokaa)
Life iko fiti na iko easy
Nimemonchokaa
(Aiyayaya nimemonchokaa)
Life iko fiti na iko easy nimemonchokaa
(Aiyayaya nimemonchokaa)
Life iko fiti na iko easy
Nimemonchokaa
(Aiyayaya nimemonchokaa)
Life iko fiti na iko easy nimemonchokaa(wuuh)
Blessings after blessings
Niko bokaa( mmmh)
Luku teketeza madem tesa tesa in the street nimewawezaa
Si flow yangu buda inadojo (what?)
Naskizwa toka E-town mpaka rongo
Mababu walinibless nikamalizanga taabu
Mashida sahii ni history
Kazi some kwa vitabu
Cheki left, right nimebeba Madenge (aah!)
Pesa nyingi hazitoshei Kwa kibeje
Nawashika shika utathani me ni steje
Kama Kuna biashara oyaa vuta teje
Niite Teered
Napeda tire
Inanifanyaga nishike hizo mangire
Inanifanyaga nifike hadi Kwa seiling
Me mbaya sana naeza Fanya
(Aaah!) Niite Teered
Napeda tire
Inanifanyaga nishike hizo mangire (ama?)
Inanifanyaga nifike hadi Kwa seiling
Me mbaya sana naeza Fanya hiki na kilee