igambah sifa 2 şarkı sözleri

Mwambieni Mungu ni jinsi gani Yalivyokutisha matendo yake Uwezo wake ni mkuu kiasi kwamba Adui wanyenyekea mbele zake Mungu ametenda mema apewe sifa Ahimidiwe, atukuzwe na achezewe Imbeni utukufu wa jina lake Mpeni sifa zake kwa utukufu Shukrani zote zako Ee Ebenezer Mahali nimefika ni nguvu zako Nipanulie mipaka nifike mbali Timiza ewe Bwana uliyoyasema Mungu ametenda mema apewe sifa Ahimidiwe, atukuzwe na achezewe Imbeni utukufu wa jina lake Mpeni sifa zake kwa utukufu Nani alifanya hilo bahari kuwa nchi kavu? Aah Aah Ni Mungu tu Nani anayetawala kwa uwezo wake milele? Aah Aah Ni Mungu tu Nani macho yake huangalia mataifa yote? Aah Aah Ni Mungu tu Nani azuia miguu yetu isije teleza? Aah Aah ni Mungu tu Nani ameyahifadhi maisha yetu hadi sasa? Aah Aah ni Mungu tu Nani ajibiye maombi yetu yote kwa wakati ? Aah Aah ni Mungu tu Nani mfariji wetu wakati tuna machungu? Aah Aah ni Mungu tu Basi tuungane sote tumpe sifa zote kwani yeye Aah Aah ni Mungu tu
Sanatçı: IGAMBAH
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 4:21
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
IGAMBAH hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı