issai ibungu bigudi (feat. bistou cent selekta) şarkı sözleri
Frère Jacques
Frère Jacques
Dormez-vous
Dormez-vous
Sonnez les matines kengele inalia
Ding deng dong kumasomo
Oh mwalimu mwalimu ona urefu wetu
Mwalimu mwalimu ona urefu wetu
Oh twageuka wa fupi Oh twageuka wa refu
Oh twageuka wa fupi Oh twageuka wa refu
Eh-Eh Eh-Eh Eh-Eh
We kaka ng'ambo yako, eh (bigudi)
Dada ng'ambo yako cheki (bigudi)
Kutwa twacheka mungini
Tukachome pasi ni nini
Na ma nyimbo za zamani
Tuko ku-system ya zamani
Muinga ataumia ungeiiga watakuzomea
Ndani ya darasa zamani tulikuwa tukiimba
'Eeh! Mwalimu acha lufimboo
Wee mwalimu wacha lufimboo
Lule lufimboo luna luma kumatako
Lule lufimboo luna luma kumatako'
Mama
Mimi katoto silale sina maneno
Mama
Mimi katoto silale sina maneno
Mama (Mwalimu wetu)
Mama (Mwalimu wetu)
Mama (Mwalimu wetu hapendake makelele)
Twende (Kumungini)
Twende (Kumungini)
Twende (Kumungini kula bugali na ndagala)
Njaa, njaa, njaa mwalimu
Njaa, njaa, njaa mwalimu
Oh mwalimu wetu saa inaenea
Tunataka kwenda kukata lutongi!
Oh mwalimu mwalimu ona urefu wetu
Mwalimu mwalimu ona urefu wetu
Oh twageuka wa fupi Oh twageuka wa refu
Oh twageuka wa fupi Oh twageuka wa refu
Eh-Eh Eh-Eh Eh-Eh
We kaka ng'ambo yako, eh (Bigudi)
Dada ng'ambo yako cheki (Bigudi)
Gentil fille (Gentil)
Gentil fille (Gentil)
Wasika wanane (Gentil)
Wana siri yao (Gentil)
Kulambula tunda (Gentil)
Tunda la Ever (Gentil)
Muteremuko mai ya piga magoti
Moya, Piga magoti
Mbili, piga magoti
Tatu, piga magoti
Inne, Bana Buzeba (Buzijidike sont prés sina mushindiko sont des prés)
Yaku kushinidika sont des prés
Yaku kushinidika sont des prés
Usinishindike sont prés
Sina mushundiko sont des pres
Yaku kushinidika sont des prés
Yaku kushinidika shindika shindika shindika
Mama Kabibi funga mulango
Kibombo bombo kisiingie
Mama Kabibi funga mulango
Kibombo bombo kisiingie
Kibombo kumuti Jida
Mama kinamaliza mapera ya Jidda mama
Kibombo kumuti Jida
Mama kinamaliza mapera ya Jidda mama
Lundi Mardi,
Mercredi Jeudi
Vendredi Samedi
Dimanche!
Oh mwalimu mwalimu ona urefu wetu
Mwalimu mwalimu ona urefu wetu
Oh twageuka wa fupi Oh twageuka wa refu
Oh twageuka wa fupi Oh twageuka wa refu
Eh-Eh Eh-Eh Eh-Eh
We kaka ng'ambo yako, eh (Bigudi)
Munataka nini bamboula c'est ça?
Tunataka bibi, bamboula c'est ça?
Bibi yenu nani, kule anaenda
Hakulake sombe, sombe yake nyama
Kitanda cha ressort, nyumba ya étage bamboula c'est ça
Oh nje nje njeee kalile ngula
Nje nje njeee kalile ngula
Oh kalile ngula tunachatu kalile ngula
Oh kalile ngula kabiri kalile ngula
Tubiri, Tuchatu Bende kivu Bende kivu
Tout sallysarry la d'abord
Kebulu elombe, Mwango elombe
Kanga mutu wana hewana elombe
Yaszalikoya elombe sukisaliwa elombe
Na musili ya ng'ombe ng'ombe du
Zuka pilipili na mungu yakolela nyau nyau nyau nyau
Odin s'est échoué échoué quatre-vingt six
Odin s'est échoué échoué quatre-vingt six
Odin s'est échoué échoué quatre-vingt six
Odin s'est échoué échoué quatre-vingt six
Ehn ehn ehn
Chagua wako, malembeee malembe
Ohh Chagua wako, malembeee malembe
Oh Chagua wako, malembeee malembe
Ohh Chagua wako, malembeee malembe
Ehn-Ehn, Ehn-Ehn, Ehn-Ehn, Ehn-Ehn, Ehn-Ehn
Twende twende twende kalishangwe
Twende kalishangwe tukacheze
Yandondo ya mutima, yandondo ya mutima
Yandondo ya mutima, yandondo ya mutima
Yandondo ya mutima, yandondo
Ama chikichiki ballon ikagonga poto savais wooooo
Ama chikichiki ballon ikagonga poto savais wooooo
Ama chikichiki ballon ikagonga poto savais wooooo
Enh! Enh! Tunababorka mai ya kishokoro
Tunababoreka mai ya kishokoro
Tunababoreka mai ya kishokoro
Tunababoreka mai ya kishokoroh!
Oh mwalimu mwalimu ona urefu wetu
Mwalimu mwalimu ona urefu wetu
Oh twageuka wa fupi Oh twageuka wa refu
Oh twageuka wa fupi Oh twageuka wa refu
Eh-Eh Eh-Eh Eh-Eh
We kaka ng'ambo yako, eh (Bigudi)
Dada ng'ambo yako cheki (Bigudi)
Hoo mwenye hana kwabo alale kumuti
Simba iko pale itamkulakula
Mwenye hana kwabo alale kumuti
Simba iko pale itamkulakula
Ohoh mama huwa chui? ('N'taua')
Oh mama huwa chui? ('N'taua')
Ale mama huwa chui? ('N'taua')
Oh mama huwa chui? ('N'taua')
Ai mama huwa chui? ('N'taua')
Mama huwa chui? ('N'taua')
Ohoh mama huwa chui? ('N'taua')
Mama huwa chui? ('N'taua')
Un, deux, trois, qui est celui-là? Police
Un, deux, trois, qui est celui-là? Voleur
Un, deux, trois, qui est celui-là? Police
Un, deux, trois, qui est celui-là? Voleur
Un, préparez-vous
Deux, dévoue, j'ai
Trois, position
Quatre, attaque

