issai ibungu safari ya maisha yangu şarkı sözleri

Tangu zamani, baba yangu alinifundisha kuwa Mtoto ni mtu mzima anaekua Na mtu mzima ni moto wa laiekua Ivo wajibu wa mzazi ni kumuandaa mtoto kuwa mtu mzima, hapo muda wake utakapo fika Nyumbani kwetu hapakuwa na maali pazuri kimaisha Lakini baba yangu alinipa matumaini kuwa Kama nitashika maelegezo yake ipasavyo Hali hiyo itakuja kuwa istoria Nilikuwa na chunga mifugu ya nyumbani kwetu kwa bidi zote Nikijua huu ni wajibu wangu Tazama mifugu hii inavyo pendeza juu ya uso dunia Inaonesha kila dalili za utulivu Ulivyo amani na upendo duniana Haina shamba wala haina mtaji Lakini inaishi kwa matumaini na amani kwa kumtumainia mungu muhumba Matumaini yalianza kuingia dosari wakati baba alipata kututoka gafa kwa ajali mbaya ya gari Kwa mujibu yama funzo ya baba Mimi ingawa nilikua na umbri mdogo Nilijikuta nikiwa kiongozo wa familia Ni'lazimika kufanya bidii izote kuakikisha kuwa mdogo wangu Anita hapati taabu Ila nilikosa kitu kimoja tu Maneno ya hekima ya baba Kuanzia hapo nilikuwa nimepotezwa changamufu kabisa Kwa kuwa sikuwa nasehemu ambako nitapata matumaini mapia kuhusu maisha Ila nilijua kuwa natakiwa kuakikisha hii hali ya maisha itatundoka na tunaishi maisha mazuri kama wengine Niliendeleza juhudi za kuchunga mifugo Na hata pale mifugo yetu ilipo kumbwa na magonjwa ya kutoweka Nilikua na chunga mifugo ya watu wengine kwa ujira Ili mradi tu maisha ya songe mbele Nilikuwa eneo lamalisho kila nilipokuwa nina muda Nilifanya hivyo bila kuchoka kabisa
Sanatçı: ISSAI IBUNGU
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 2:26
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
ISSAI IBUNGU hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı