ivan tuil my maid şarkı sözleri
Nilisha kupendeya nini mi sijui
Umechanganya yangu mwili na akili
We ni maid mdogo umeniweza mi
Nikupambe uwa nikuite queen
Bazazi biko déjà informé
Gizi mi nawe tunataka voyagé
Banajuwa ilo Shie tusi tardé
Bana semaka oh tarder oh resté
Sisi tuta fly nauta furai
Tuki nunuwa wagain dubai
Uko hakunaga wasi kila kitu ni smart
Kwako mwenyewe utaona
Wewe usha nipa sumu
My maid (ooooooh)
My maid my maid
Sote tuta fiya umu
My maid (ooooooh)
my maid my maid
Mahaba ya nipandisha wazimu
My maid (ooooooh)
My maid my maid
Kweli maid tu vas me tuer
My maid (ooooooh)
My maid my maid
Uuuuh my maid
Kwako mi nilisha bana
Uuuuh my maid
kila kitu kina endana
Uuuuh my maid
Kwako mi nilisha bana
Uuuuuh my maid
Kila kitu kina endana
Nisha penda nisha pendwa nisha bana ivi ivi
Ni nani atakuja kama muchonganishi
Nisha penda nisha pendwa nisha bana ivi ivi
Ni nani atakuja kama muchonganishi
Batuoneye mbali
Batusikiliye mbali
Mana Nisha pata wangu hodari
Batuoneye mbali
Batusikiye mbali
Mana nisha pata wangu hodari
Bazazi biko déjà informé
Gizi mi nawe tunataka voyagé
Banadjuwa ilo Shie tusi tardé
Bana semaka oh tarder oh resté
Sisi tuta fly nauta furai
Tuki nunuwa wagain dubai
Uko hakunaga wasi kila kitu ni smart
kwako mwenyewe utaona
Wewe usha nipa sumu
My maid (ooooooh)
My maid my maid
Sote tuta fiya umu
My maid (ooooooh)
My maid my maid
Mahaba ya nipandisha wazimu
My maid (ooooooh)
My maid my maid
Kweli maid tu vas me tuer
My maid (ooooooh)
My maid my maid
My maid (ooooooh)
My maid my maid
My maid (ooooooh)
My maid my maid

