ivano bass niguse tena şarkı sözleri

Mara kwa mara nakuwaza Ukinipea sitatangaza Nikiwa nawe ni salama Fanya vile unafanyanga Kiunoni zile shanga Chorus fupi kwa mahaba Melody tamu bila stanza Sio siri nimedata Naseti mitambo Utawasha candles Tabibu wa moyo Hunanga uchoyo Kuna pahali Ukinigusa mwenzako nalegea Utamu Fulani siwezi Zeleza Niguse tena mama Niguse tena chouchou Unajua kuna pahali Ukinigusa mwenzako nalegea Utamu Fulani siwezi Zeleza Niguse tena mama Nishike tena chouchou Ondoa mashaka nitatoa ng'ombe Mapenzi garama lazima nioe Sherehe kila corner Ntalinda boma watakoma Barya bakwita Delela nibo banyita Samson Mbe biramaze gushika Ishura numve I wonna know Wacha nikupende Leo na milele Tabibu wa moyo Hunanga uchoyo Kuna pahali Ukinigusa mwenzako nalegea Utamu Fulani siwezi eleza Niguse tena mama Nishike tena chouchou Unajua kuna pahali Ukinigusa mwezako nalegea Utamu fulani siwezi elewa Niguse tena mama Nishike tena chouchou Kama unanitekenya Siwezi eleza Siwezi eleza eeeeh Kama unanitekenya Siwezi eleza Siwezi eleza eeeh Kama unanitekenya Siwezi eleza Siwezi eleza eeeeh
Sanatçı: Ivano Bass
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 4:18
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
Ivano Bass hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı