J Classic şarkı sözleri

Nili sema asante ulipo ingia kwa maisha yangu Sikujuwa wewe ungekua mtesi wa moyo wangu Macho nili fumba nisione mwengine zaidi ya wewe Sikio nika ziba nisi skie mwengine zaidi ya wewe Nilikupa moyo moyo mama ahya wee Ukawa na uchoyo nyodo mama wee Zako skendo skendo sikua na neno, nilibaki bubu Ladha ya penzi lako sijuwi nasoma kwa vitabu, vitabuu Uka ni cheka cheka kwamba sina nyumba nili kulaza kwenye choo Tena uka bweka bweka bora unge nitema nili ku kaba kwenye koo Baby sawa ( moyo tulia kuna na vya watu ) Ahyaa ah ( maumivu yata pita niya muda tu ) Baby sawa ( moyo tulia, tulia moyo ) Ahyaa ah ( maumivu niache niache eh ) Uli nipa maumivu, maumivu moyo usha funga kurasa Ulijua nime zama kwa kina ila uka nitowa garasa Utamu ndio ladha ya mapenzi kwangu nili hisi ukakasi Nimeshindwa hizi mbio kwa penzi kwa hii kasi ya farasi Nilikupa moyo, moyo mama ahya wee Ukawa na uchoyo, nyodo mama wee Uka ni cheka, cheka kwamba sina nyumba nili kulaza kwenye choo Tena uka bweka bweka bora unge nitema nili ku kaba kwenye koo Baby sawa ( moyo tulia kuna na vya watu ) Ahyaa ah ( maumivu yata pita niya muda tu ) Baby sawa ( moyo tulia, tulia moyo ) Ahyaa ah ( maumivu niache niache eh ) Zime nishinda skendo,

Sanatçının Fotoğrafı

Sanatçı Görseli Yok