jackson yusuph uinuliwe şarkı sözleri

Baba kama siwewe ningekuwa wapi Dady kama siwewe ningekuwa nani? Nani iiih Yahweeh kama siwewe ningeitwa nani? Nani eeeeh Umebadili maisha yangu nakuyafanya mapya... Watesi na maadui zangu Umewanyima nafasi Jina lako lihimidiwe Tangu leo na milele eeeh Wewe umwinua masikini Kutoka mavumbini eeeeh Na kumketisha pamoja Na wenye heshima aah Ninani alie mfano wako Je Ninani alie kama wewe eeh Bwana aaaah Uinuliwe baba aaah uketie juu Zaidi yako hakuna mwingine Uinuliwe baba aah, uketie juu Zaidi yako ooh hakuna mwingine eeh Hakuna haaaah mwingine eeh Hakuna, hakuna mwingine eeeh Toka misingi ya dunia hajawahi Kuwepo kama wewe Viumbe wote wanatambuwa ukuu wako hooohoo Unafanya miujiza kila kukicha Niwewe mtetezi wa wanyonge Niwewe baba wamayatima! Huduma zako zote ni buree Hazichagui kabila wala rangi Ninani alie mfano wako Ninani alie kama wewe eeh Nasema uinuliweeeeh Uinuliwe baba ahh uketie juu Zaidi yako hakuna mwingine Uinuliwe baba aah, uketie juu Zaidi yako ooh hakuna mwingine eeh Eeeeeeh Mwingine,hakuna mwingine eeh Umenifanya niwe tofauti sana kuliko zamani Umenifanya niwe wa thamani, sasa nang'ara kama zahabu Hapa nilipo leo ni kwa neema yako Na rehema zako oooh Umenitoa mavumbini na Kuniketisha na wenye heshima Na sema uinuliwe eeeh Uinuliwe baba aah, uinuliwe baba uketie juu Zaidi yako, zaidi yako hakuna mwingine Uinuliwe,uinuliwe,uinuliwe baba aah, uketie juu Zaidi yako ooh hakuna mwingine eeh, zaidi yako hakuna mwingine eeeh
Sanatçı: Jackson Yusuph
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 4:02
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
Jackson Yusuph hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı