kakanabix kenya kakanabix amapiano şarkı sözleri

Simkaribieni beat imenishika Naomba sikieni mta ni itika Nitawaroga roga roga mistari mtazishika Basi mkenya siucheze Aina style tuzikwende Akidinda ni mbezee Nasi lazima nimtendee Basi naanzie kukusifu wapi Sura Yako inanivutia siwezi kujificha Unathani wamekusema wangapi Wewe ni mrembo umeumbwa ukaumbika Hisia zako zanikosha mummy Zaidi umbo lako la chachisha Basi mkenya siucheze Aina style tuzikwende Akidinda ni mbezee Nasi lazima nimtendee Mwenzenu mdada ataki kucheza na mimi ana maringo Basi kiende kiende na chini tukivunja kiuno Isokote mchicha ya wimbii ya kunyoosha shingo Unau brother Ata unamkabaa Y Yaani uyo mdada Basi cheza cheza cheza baby Niki imba Umeniweza weza weza na uo mkitimba Unamtatizanga dume suruali Ina vimba Na anabishananga sana kwani akona mimba Basi mkenya siuchez Aina style tuzikwende Akidinda ni mbezee Nasi lazima nimtendee
Sanatçı: KAKANABIX KENYA
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 4:54
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
KAKANABIX KENYA hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı