mabantu tumetoboa şarkı sözleri

Mh!!! Si wanapenda Kubang (Kumaanisha nini ? ) Eeh! Eeh! Eeh! Eeh! Let’s go Tumevuka pasi na mashaka Tumesimama coz tulishakaa (for the name ) Kwa jina la Baba eeh!! (kwa jina la Baba ) Mikiki mikiki kuluka ka weka uku weka hapa ( coz ) Kwa jina la Baba for the name (kwa jina la Baba ) Coz walisema wakasema hatutoboa mwezi siku wala masaa Nasi tukasema Tukasema Tunaye mwenyezi jembe baba la baba Ona sasa Tumetoboa!!! Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!! Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!! tobo Tumetoboa!!! Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!! Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!! tobo Oya hallelujah (Ameen !! ) Tushalipa kodi Waliomba tulale na njaa Wakaamka tumeshiba Coz tuna MUNGU sio mwanadam Tukimuamini yeye hawezi kutuacha Coz walisema (sema…!!! ) wakasema hatutoboa mwezi siku wala masaa Nasi tukasema Tukasema Tunaye mwenyezi jembe baba la baba Tumevuka pasi na mashaka Tumesimama coz tulishakaa Kwa jina la Baba eeh!! (kwa jina la Baba ) Mikiki mikiki kuluka ka weka uku weka hapa coz Kwa jina la Baba (kwa jina la Baba Tumetoboa!!! Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!! Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!! tobo Tumetoboa!!! Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!! Tumetoboa !!! Tumetoboa !!!Tumetoboa !!! tobo Autro Eeh! Eeh! Eeh! Eeh! Eeh! Eeh!
Sanatçı: mabantu
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 2:44
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
mabantu hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı