nadia mukami mapenzi şarkı sözleri
Mmhh
It’s Jaysoul again
Mmmh
Heeey
Kinda wangu tulia
Usije ukajipa kiwewe
Nakushugulikia
Japo nitapata nielewe
Hapa nilipo japo masaibu nazijakazaa
Bila malipo upendo wako nipe bure
Mwingine bora zaidi yako sijapata mimi oohh
Nimetembea nafika kwisho sijapata mwingine
Hali na mali unipende mie
Na kama ni kesi acha na iwe
Bora ukinivumilia me
Na imani tutafika weeeh yeyeee
Mapenzi Mapenzi uuh uuhh uuuh
Napendwa Napendwa uuh uuhh uuuh
Mapenzi Mapenzi uuh uuhh uuuh
Kupendwa napendwa uuh uuhh uuh
Yeaaahh
Mapenziiiiii
Oohh kupendwaaaa
Mapenzi
Nishaweka kituo gari imefika mwisho
Nakuenzi
Together milele sio kama before
I wanna take you places you’ve never been
I will give you love that you’ve never had
Your my lover my honey
My sugar spice and sheri
Your my lover my honey
My sugar spice and sheri
Hali na mali unipende mie
Kama na kesi acha na iwe
Bora ukinivumilia me
Na imani tutafika yeeeh.
Mapenzi Mapenzi uuh uuhh uuuh
Napendwa Napendwa uuh uuhh uuuh
Mapenzi Mapenzi uuh uuhh uuuh
Kupendwa napendwa uuh uuhh uu