nafsi huru zoza şarkı sözleri

Zoza Zoza Tunazoza x2 Zoza Zoza Na Tuzoze Zoza mpaka tuna osa Zoza Zoza Tunazoza x2 Zoza Zoza Na Tuzoze Zoza mpaka tuna osa Rude bouy ting dis a rude buoy ting ukiona umekua karibu kwa ring Mcee nawakalisha kama Mohamed Ali Fly kama butterfly sting like a bee Bad bouy ting yes a bad buoy ting ukiona umekua karibu kwa ring Mcee nawakalisha kama Mohamed Ali Fly kama butterfly sting like a bee BOOM Zoza Zoza Tunazoza Zoza Zoza Tunazoza Zoza Zoza Na Tuzoze Zoza mpaka tuna osa X2 Wanadata kwetu mambo swadakta wakiketi wanawaza vipi watageuza karata wakati wanapoteza sana wakitufuata fuata Mambo haya makubwa yanaelea ju yameundwa mchongo ulikwaliwa ukachongwa hamna chao walichoombwa sana wanashangaa kuona meli mbali ilivyosonga walibaki bandarini wanangoja ndege Shenz type hawaamini tushaua kenge Twawajua wana gere upendo kwao hakuna kwere twaishi ka vile Nyerere sote tukamate zare Hii hujui siri ya utajiri nakwambia nikujiajiri kitumwa unafkiri zisahau level hizi Ni muhimu kuwakumbusha Skio haliezi pita kichwa Unapokaa unafaa kukumbuka haya mambo makubwa kubwa Zoza Zoza Tunazoza Zoza Zoza Tunazoza Zoza Zoza Na Tuzoze Zoza mpaka tuna osa x2 Rude bouy ting dis a rude buoy ting ukiona umekua karibu kwa ring Mcee nawakalisha kama Mohamed Ali Fly kama butterfly sting like a bee waoga waoga wanaogopa Wajinga Jinga wanaropoka Mi natengeza Chedda naomoka huku mateja wanazeeka wakimoka ua nacheza Kushinda nilikataa kupinda Dau linapanda nikibadili calendar Si fwatani na Madanda utanipata na Ananda Love kwa madada sina chuki na mabredda Mbinde kawaida na sipotezi rada Man a born Leader si mtu wa kawaida I N I de Don Dada si mtu wa kawaida Godamn
Sanatçı: Nafsi Huru
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 2:14
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
Nafsi Huru hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı