naipa tulisha achana şarkı sözleri
Tulululululululuuuui
Ushafuta namba yangu
Nami nisha futa yako
Usha delete picha zangu
Nami nisha futa zakooo
Tena nacho shukuru
Moyo wangu ukitema kitu
Kukirudisha dhambiii
Mhhhhh
Usije waza kuna siku utakuja weka kambi
Maana
Kwako nilijipenyeza kibahati mbaya
Usijikute mzuri mavazi yameficha ubaya ohhhhhh
Na tena story za kupost picha
Unanitag ziishie leoo
Mbona simple
Si unitoe kichwani mwako
Mbona mimi sina shobo
Mimi nawe
Tulisha Achana...
Tulisha Achana...
Tulisha Achana...
Tulisha Achana...