o'nkosi productions presents -o'nkosi e vile vile by chappies davinchi şarkı sözleri
Acha watu wapime watujue real niggerz yeah
Acha waje mtaani watuone tunavyo ishi yeah
Cool kama barafu nimetulia kwenye fridge yeah
Wanataka kwenda dark tushavuka hio bridge yeah
Acha watu wapime watujue real niggerz yeah
Acha waje mtaani watuone tunavyo ishi yeah
Cool kama barafu nimetulia kwenye fridge yeah
Wanataka kwenda dark tushavuka hio bridge yeah
Story za mtaani ndo wahuni tuna prich yeah
Wahuni hatuna kazi tunaishi tu kibishi yeah
Kama ni mvivu kutusua sio rahisi yeah
Watu kama wapole ila ndani ni mabeast yeah
Jinsi tunavyo sali wanaroga tena vile vile
Wahuni kazi zetu zinabaki kuwa vile vile
Leo tupo fresh Kesho tupo vile vile
Kidogo tunacho pata tuna spend tena zaidi ya kile
Wahuni wanataka pima nawapa kilo yani zile zile
Unasema unamachizi mi mwenyewe nao vile vile
Sio ngumi sio silaha zinawatoka tena vile vile
Yakuza kwa TV tuna wa copy yani vile vile
Acha watu wapime watujue real niggerz yeah
Acha waje mtaani watuone tunavyo ishi yeah
Cool kama barafu nimetulia kwenye fridge yeah
Wanataka kwenda dark tushavuka hio bridge yeah
Acha watu wapime watujue real niggerz yeah
Acha waje mtaani watuone tunavyo ishi yeah
Cool kama barafu nimetulia kwenye fridge yeah