p fire i miss you şarkı sözleri

Ata kama kosa kosa Inatosha tosha Ushanipa kitu gani Unanichanganya unanichanganya sanaa Upo mahali gani Ndo swali nalo jiuliza sana Nahisi kizani Naumia so utani Hoi taabani Huruma masikini Bila shaka unamalengo yako Vitu unavyofanya babe ni vituko Umebeba vitu ndani mpaka jiko Ila hivyo unavyofanya kwetu mwiko Bila shaka unamalengo yako Vitu unavyofanya babe ni vituko Umebeba vitu ndani mpaka jiko Ila hivyo unavyofanya kwetu mwiko Hata kama kosa kosa Basi inatosha tosha Bado haujalidhika zika Bado nina kuita ita Sometimes i miss you uh Babe i miss you uh Sometime i miss you uh Babe i miss you uh Sometimes i miss you uh Babe i miss you uh Sometime i miss you uh Babe i miss you uh One more time Kweli siko fine Nimekumc taabani Sure i feel so pain Life limekua tata Huzuni nayo imeniganda Ona navyojikongoja Njoo ata mala moja Ona jinsi Navyosota mama Sota kama Cjui lini hizi drama Lini drama Turudie zama Die zama Turudie zama Die zama Hata kama kosa kosa Basi inatosha tosha Bado haujalidhika zika Bado nina kuita ita Sometimes i miss you uh Babe i miss you uh Sometime i miss you uh Babe i miss you uh Sometimes i miss you uh Babe i miss you uh Sometime i miss you uh Babe i miss you uh
Sanatçı: P Fire
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 3:30
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
P Fire hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı