Q Chief şarkı sözleri

Intro.. Sweet afro banger Yogo Awhaaa Verse: 1 A man will fall to stand again A man will fall to stand again Waliniandama wafitina wakanisakama Wakiamini nitakata tamaa ni wabaya Walimwengu waa ni wabayaa Mungu wangu kaniepusha na wachanja chale Kina Rajabu Nasibu na wa Moro Tale Mafanikio yako karibu na still unakosa na ndugu Wakiskia umepata na kazi wanaomba utoke patupu Binadamu sio wabaya pesa ndo chanzo Ukizikosa shida ukizipata raha zinakutolea mawazo Ukizikosa shida ukizipata raha zinakutolea mawazo chorus Papa God Papa God through maombi you change my life Papa God Papa God through maombi you change my lifePapa God Papa God through maombi you change my life Papa God Papa God through maombi you change my life verse : 2 Roho mbaya matatizo Mungu akipanga imo Anakupa kwa marengo,anakupa kwa marengo Hujui muda wala saa tunaishi kwa ridhaa Nashukuru Mungu kwa subira kwa subira Kibunda kibunda kikiingia sikaribishi maneno Nasaka pesa na nguvu zangu staki chawa na hayo mapepo Binadamu sio wabaya pesa ndo chanzo Ukizikosa shida ukizipata raha zinakutolea mawazo Binadam sio wabaya pesa ndo chanzo Ukizikosa shida ukizipata raha zinakutolea mawazo Chorus Papa God Papa God through maombi you change my life Papa God Papa God through maombi you change my life Papa God Papa God through maombi you change my life Papa God Papa God through maombi you change my life Kibunda kibunda kikiingia sikaribishi maneno Nasaka pesa na nguvu zangu staki chawa na hayo mapepo
Ad Soyad: Q Chief
Müzik Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: -
Toplam: 1 Kayıtlı şarkı
Q Chief hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı

Sanatçı Görseli Yok