saleef nilichelewa şarkı sözleri

Hallo, Hallo Ni siku nyingi kabla sijakuona Hallo, Hallo Mawazo mingi, dada nakuwaza Naona, Ni kama hunipendi, ulivyonipenda Machozi, Machozi ndio nalia, nilikupoteza Nilichelewa Kusema nakupenda Nilichelewa Kusema nakutaka Nilikuhata Nikapata umeenda Na sijui nifanye nini Na sijui nifanye nini Najua nilikukosea Nilidhani ungeningojea, mi Vile ulido si fair, Vile ulido si poa, mami Time ilikuwa mbaya Couldn't get you close to me Halafu tukaona haya, Hatukusema venye tulifeel for real (For real) Nilichelewa Kusema nakupenda Nilichelewa Kusema nakutaka Nilikuhata Nikapata umeenda Na sijui nifanye nini Na sijui nifanye nini Najua ni Maisha Inatubeba hivi Si mind kama huko hapa Nitaenda basi Lakini naamini Kuna siku tutakuwa Pamoja Eey Nilichelewa Kusema nakupenda Nilichelewa Kusema nakutaka Nilikuhata Nikapata umeenda Na sijui nifanye nini Na sijui nifanye nini
Sanatçı: Saleef
Türü: Belirtilmemiş
Ajans/Yapımcı: Belirtilmemiş
Şarkı Süresi: 4:49
Toplam: kayıtlı şarkı sözü
Saleef hakkında bilgi girilmemiş.

Fotoğrafı